Inakuja: Kongamano la Uponyaji wa Kimungu..
- sautiyauponyaji
- Sep 17, 2017
- 1 min read
Ndugu waminio na wasio amini Sauti ya Uponyaji iliyopo Kihonda Yespa mjini Morogoro inawatangazia Kongamano la Uponyaji wa Kimungu likiongozwa na Nabii Joshua.
Kungamano hii litafanyika tarehe 30/09/2017 na kumalizika 1/10/2017 hivyo mna siku mbili za kupokoa uponyaji kupitia Kongamano la Uponyaji wa Kimungu.
Comments