top of page

Inakuja: Kongamano la Uponyaji wa Kimungu..

  • sautiyauponyaji
  • Sep 17, 2017
  • 1 min read

Ndugu waminio na wasio amini Sauti ya Uponyaji iliyopo Kihonda Yespa mjini Morogoro inawatangazia Kongamano la Uponyaji wa Kimungu likiongozwa na Nabii Joshua.

Kungamano hii litafanyika tarehe 30/09/2017 na kumalizika 1/10/2017 hivyo mna siku mbili za kupokoa uponyaji kupitia Kongamano la Uponyaji wa Kimungu.


 
 
 

Comments


© 2017 SAUTI YA UPONYAJI. Proudly created with PASKAL LINDA.

bottom of page