Gari laanguka katika paa la nyumba China
Gari moja lilipoteza mwelekeo katika mji wa Taizhou uliopo mashariki mwa China ,kuteleza barabarani na kuanguka katika paa la nyumba.
Dereva wake alisema kuwa alijaribu kuzuia ajali ya ana kwa ana na bahati mbaya akakanyaga kichapuzi cha gari alipokuwa akibadilisha mwelekeo wa gari hilo.
Ashtakiwa kwa kuendesha gari akiwa amesimama
Kwa nini Trump hataendesha gari tena
Upepo wang'oa paa la jengo la bunge Ghana
Picha ya mvulana wa Syria iliyowasikitisha wengi
Maafisa wa polisi walilazimika kutumia ngazi kumuokoa dereva huyo huku gari hilo aina ya SUV likiondolewa na korongo.